

Lugha Nyingine
Maonyesho ya 21 ya China-ASEAN yafunguliwa
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 25, 2024
![]() |
Waonyeshaji bidhaa wakipiga ngoma ili kuvutia watembeleaji maonyesho kwenye Banda la Cambodia la Kituo cha Kimataifa cha Maonyesho na Mikutano cha Nanning, China, Septemba 24. (Xinhua/Zhang Ailin) |
Maonyesho ya 21 ya China na Jumuiya ya Nchi za Asia Kusini Mashariki (ASEAN) na Mkutano wa Kilele wa Biashara na Uwekezaji wa China-ASEAN umefunguliwa siku ya Jumanne, Septemba 24 katika Mji wa Nanning, Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wazhuang wa Guangxi, China.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma