<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Moldova yafanya uchaguzi wa rais, kura ya maoni ya kujiunga na?EU

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 21, 2024

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakiwa kwenye foleni kupiga kura nje ya kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakiwa kwenye foleni kupiga kura nje ya kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    BUCHAREST - Wapiga kura wa Moldova wamepiga kura jana Jumapili kwa ajili ya uchaguzi wa rais na kura ya maoni ya nchi hiyo kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU) ambapo Tume Kuu ya Uchaguzi (CEC) ya Moldova imesema siki hiyo katika taarifa kwa vyombo vya habari kwamba vituo vya kupigia kura 2,219 vilifunguliwa kwa wapigakura ambao wanakadiriwa kufika milioni 3.3 kuanzia saa 1 Asubuhi (0400 GMT) hadi 3 usiku kwa saa za huko (1800 GMT).

    Uchaguzi huo unafuatiliwa na waangalizi 2,061, wakiwemo waangalizi wa kitaifa 1,277 na waangalizi 784 wa kimataifa, CEC imesema.

    Chini ya katiba ya nchi hiyo, mgombea lazima apate kura nyingi kwa zaidi ya nusu ya wapigakura wote ili kumwezesha kuchaguliwa kuwa rais; vinginevyo, wagombea wawili walio na kura nyingi zaidi wanaendelea na duru ya pili.

    Mbali na kuchagua rais, wapiga kura pia watapiga kura ya maoni kuhusu iwapo lengo la kujiunga na Umoja wa Ulaya linapaswa kuandikwa katika katiba ya nchi hiyo.

    "Kura yetu kwenye kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatma yetu kwa miongo mingi ijayo," amesema Maia Sandu, rais aliyeko madarakani wa Moldova anayewania muhula wa pili madarakani.

    Tangu kuchaguliwa kwake Mwaka 2020, Sandu amekuwa akiiongoza Moldova kuelekea mshikamano zaidi na EU. Aliongoza nchi hiyo kufikia hadhi ya mwombaji wa uanachama wa EU Mwaka 2022. Mwezi Juni Mwaka 2024, mazungumzo rasmi ya kujiunga na EU yalianzishwa.

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakipiga kura zao kwenye kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakipiga kura zao kwenye kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Deng Jie)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>